Olaf II Haraldsson
Mandhari


Olaf II Haraldsson (kwa Kinorwe asili: Ólafr Haraldsson; pia Olave; 995 – 29 Julai 1030) alikuwa mfalme wa Norway kuanzia mwaka 1015 hadi 1028.
Mtu wa watu, alieneza katika ufalme wake imani ya Kikristo aliyoifahamu huko Uingereza, akapambana na Upagani kwa bidii hadi alipouawa na maadui waliomshambulia kwa upanga huko Stiklestad[1].
Mwaka mmoja baadaye alitangazwa na askofu Grimketel huko Nidaros (Trondheim) kuwa mtakatifu. Jambo hilo lilichangia sana uenezi wa Ukristo nchini, naye akawa kiini cha utambulisho wa taifa[2][3].
Mwaka 1164 Papa Alexander III alithibitisha utakatifu wake.
Pamoja na Wakatoliki na Waorthodoksi[4], baadhi ya Walutheri na Waanglikana pia wanamheshimu hivyo.[5]
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/64950
- ↑ "Olav den hellige". Kunsthistorie. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-02-20. Iliwekwa mnamo Septemba 1, 2017.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Fredrik Paasche (29 Julai 1930). "Olav Haraldsson". Den norske kirkes 900-årsjubileum. Iliwekwa mnamo Septemba 1, 2017.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Vladimir Moss. "Martyr-King Olaf of Norway – A Holy Orthodox Saint of Norway". www.orthodox.net. Iliwekwa mnamo 14 Desemba 2015.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "The Calendar". The Prayer Book Society of Canada (kwa American English). 2013-10-16. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-10-22. Iliwekwa mnamo 2017-01-12.
{{cite news}}: More than one of|accessdate=na|access-date=specified (help) - ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Ekrem, Inger; Lars Boje Mortensen; Karen Skovgaard-Petersen (2000) Olavslegenden og den Latinske Historieskrivning i 1100-tallets Norge (Museum Tusculanum Press) ISBN|978-87-7289-616-8
- Hoftun, Oddgeir (2008) Kristningsprosessens og herskermaktens ikonografi i nordisk middelalder (Oslo) ISBN|978-82-560-1619-8
- Hoftun, Oddgeir (200) Stavkirkene – og det norske middelaldersamfunnet (Copenhagen; Borgens Forlag) ISBN|87-21-01977-0
- Langslet, Lars Roar; Ødegård, Knut (2011) Olav den hellige. Spor etter helgenkongen (Oslo: Forlaget Press) ISBN|82-7547-402-7
- Lidén, Anne (1999) Olav den helige i medeltida bildkonst. Legendmotiv och attribut (Stockholm) ISBN|91-7402-298-9
- Myklebus, Morten (1997) Olaf Viking & Saint (Norwegian Council for Cultural Affairs) ISBN|978-82-7876-004-8
- Passio Olavi (1970) Lidingssoga og undergjerningane åt den Heilage Olav (Oslo) ISBN|82-521-4397-0
- Rumar, Lars (1997) Helgonet i Nidaros: Olavskult och kristnande i Norden (Stockhol) {SBN|91-88366-31-6
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- St. Olavs Orden (Kinorwei)
- Olav den Hellige – Norges evige konge
- A History of Norway and The Miracles of the Blessed Olafr
- Haraldsson (Stiklestad Nasjonale Kultursenter)
- Ny viten om Olav den hellige(Jørgen Haavardsholm. University of Oslo)
- Saint Olave - King of Norway, Olav den Hellige.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |

