close
Nenda kwa yaliyomo

Wasanii

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Msanii)
BERJAYA
Ngugi wa Thiong'o, mwandishi wa vitabu kutoka Kenya.

Wasanii ni wale watu wote wanaohusika na kazi inayojumuisha sanaa, kwa mfano: wachoraji, waimbaji, wahunzi n.k.

Kazi hiyo inadai ubunifu mkubwa kuliko kawaida, unaowawezesha kutambua mambo mbalimbali na kuyatengenezea mwangwi kwa ajili ya jamii.